Drake

Drake on the set of his new music video in New York City

Ciara

Ciara celebrates her birthday, dressed as Storm from 'The X-Men,' at Haze Nightclub at Aria Resort & Casino in Las Vegas

Chris Brown

Chris Brown at the opening night of the Broadway production of 'Rain - A Tribute to The Beatles' at the Neil Simon Theatre in New York City

Diddy

Rapper Diddy celebrates his 41st birthday.

Kirk Jones

Actor/rapper Kirk Jones celebrates his 37th birthday.

Larry Homes

Prodigy

Willow Smith

Fashion should be an extension of who you are. Willow’s fearless style encourages us all to express ourselves through fashion and have no regrets.

Mary J. Blige

Mary’s performances are so soulful because her refined persona still has that Bronx grit that her fans love. It’s ok to grow, but don’t abandon your roots.

Dk Willibrod Slaa.

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema, Dk Willibrod Slaa jana alitoa tuhuma nzito dhidi ya Idara ya Usalama wa Taifa akisema kuwa taasisi hiyo imemuibia kura na hivyo hatayakubali matokeo ya uchaguzi wa urais.

Kauli hiyo imetolewa wakati Tume ya Uchaguzi (Nec) ikielekea kukamilisha kutangaza matokeo ya majimbo na kumtangaza mshindi, jambo ambalo litamfanya Dk Slaa na chama chake kuzuiwa na katiba ya nchi kupinga matokeo hayo mahakamani.

Dk Slaa aliwaambia waandishi wa habari jana akisema kuwa: "Kuna uchakachuaji mkubwa wa kura na kazi hiyo inafanywa na Usalama wa Taifa," alisema Dk Slaa ambaye matokeo yanayotangazwa na Nec yanaonyesha kuwa anaendelea kushika nafasi ya pili akiwa nyuma ya mgombea wa CCM, Jakaya Kikwete.

Lakini Mwenyekiti wa Nec, Jaji Lewis Makame alipoulizwa kuhusu tamko hilo la Chadema, alimtaka Dk Slaa kuwasilisha taarifa zinazothibitisha madai aliyoyatoa kuwa Nec imekuwa ikitangaza matokeo yaliyochakachuliwa tofauti na zile alizopata.

Jaji Makame alisema kama madai ya Dk Slaa ni ya kweli, ni muhimu apeleke hizo idadi ya kura alizodai amepunjwa ili kuthibitisha madai yake dhidi ya tume hiyo.

Alisema idadi ya kura zinazotangazwa na Nec kwenye kinyang’anyiro cha urais ni zile ambazo wagombea hao wamezipata kihalali kwenye upigaji kura na wala hakuna upendeleo wowote.

“Mimi sijapata malalamiko yoyote kutoka kwa mgombea huyo, hivyo kama anayoyazungumza ni ya kweli kuna umuhimu wa kuthibitisha hiyo tofautu anayodai ipo, lakini kura tunazotangaza ni kura ambazo kila mgombea alizipata kwenye uchaguzi," alisema Jaji Makame
Mbunge huyo wa zamani wa Jimbo la Karatu alionya kama Nec inaitakia mema nchi hii, ifute matokeo yote ya urais na uchaguzi urudiwe upya.

"Hatuwezi kukubali matokeo yanayopikwa na Usalama wa Taifa. Hayo si matakwa ya wananchi," alisema Dk Slaa baadaye kukaririwa kwenye TBC.

Kwa mujibu wa Dk Slaa, ambaye pia ni katibu mkuu wa Chadema, chama chake kimekuwa kikifuatilia kwa makini matokeo hayo na kugundua wizi mkubwa wa kura kwenye nafasi za urais na ubunge.

Mgombea huyo wa urais, ambaye mara nyingi hujenga hoja kwa kutumia ushahidi, alisema moja ya maeneo waliyogundua kuwepo kwa wizi wa kura ni matokeo ya Jimbo la Geita lililo mkoani Mwanza ambako alidai Nec ilitangaza kuwa kwenye uchaguzi wa rais, CCM imepata kura 17,792 na Chadema kura 3,789.

Lakini akasema kwa mujibu wa fomu walizonazo ambazo zilisainiwa na mawakala wao kwenye kata 20 za jimbo hilo, CCM ilipata kura 30,960 na Chadema 15,736.

"Nashangaa Nec wanatangaza matokeo haya kutoka wapi? Hayo ya Geita ni moja tu. Kule Hai, fomu zinaonyesha kwenye urais CCM ina kura 20,120 na Chadema 26,724, lakini Nec imetangaza kuwa CCM ina kura 35,910 na Chadema kura 18,513," alisema Dk Slaa huku akionyesha baadhi ya fomu kwa waandishi wa habari.

Dk Slaa pia alitoa mfano aliodai kuwa wizi wa kura katika kituo namba 00070103 cha Ubungo jijini Dar es Salaam na kueleza kuwa fomu 24A inaonyesha CCM wamepata kura 68,727 na Chadema 65,450, lakini matokeo ya kata za Ubungo yanaonyesha CCM ina kura 70,472 na Chadema 72,252.

Dk Slaa alisema mbali na Ubungo, tatizo hilo pia alidai liko Kigoma Mjini ambako Chadema imeshinda kwa zaidi ya kura 500, lakini "matokeo yalichakachuliwa na kusababisha vurugu hadi askari wakawapiga mabomu wafuasi wa Chadema".

Pia alisema kwenye Jimbo la Segerea, ambako matokeo yalicheleweshwa kwa siku mbili na kutangazwa usiku wa manane juzi, mambo ni mabaya zaidi kwa kuwa fomu 21 A na B hazikuwepo na wasimamizi walikwenda nazo majumbani kulala.

"Kiwalani fomu hazikuwepo na matokeo hayakuonekana. Kipawa vituo vinne matokeo hayakuonekana na Vingunguti kuna vituo saba na Tabata vituo viwili ambako matokeo hayakuonekana," alisema Dk Slaa.

AMINI:Penzi la Linah limenidatisha, tutaoana!

Tanzania House of Talent ‘THT,’ Amini Mwinyimkuu Mpili. Mshkaji alizaliwa 1986 katika Hospitali ya Mwananyamala Kinondoni jijini Dar es Salaam akiwa ni mtoto wa mwisho kati ya watoto saba wa mzee Mwinyimkuu.

Alianza safari ya masomo 1997 katika Shule ya Msingi Kinondoni na kuhitimu mwaka 2003. Kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wake hakuendelea na masomo ya sekondari.

Hata hivyo mwishoni mwa mwaka 2003 aliamua kusoma English Course mtaani kwao kwa ‘teacher’ mmoja aliyemtaja kwa jina la Chris kwa muda wa miezi sita kisha kujiingiza kwenye muziki.

Katy Perry

Well, it doesn't look like Katy Perry will be kissing anymore girls. The "Teenage Dream" singer and her boyfriend of more than a year, salty British comedian Russell Brand, were married Saturday evening in a ceremony in India. "Russell Brand and Katy Perry are overjoyed to confirm that they were pronounced Mr. and Mrs. Brand on Saturday, October 23," the couple said in a statement sent to MTV News. "The very private and spiritual ceremony, attended by the couples' closest family and friends, was performed by a Christian minister and longtime friend of the Hudson Family [Katy's maiden name]. The backdrop was the inspirational and majestic countryside of Northern India."
Producer Lamar baada ya kumaliza matengenezo ya studio yake ya Fish Crab iliyochukuwa takribani mwezi mmoja na nusu. Mtu mzima ametoa ofa ya kurekodi kwa nusu bei kwa mda wa wiki moja tu. Lamar amesema anachukua nyimbo 5 tu so kama wewe unajua ni mkali na haujatoka basi nenda pale maeneo ya Kariakoo nyuma [...]

Rick Ross

I Iove it, it's like the Pro Bowl to the NFL, everybody wants to get to Hawaii. It's a roundtable that I could truly say I respect the integrity of the roundtable and the dudes that are actually out there.
I'm really amazed that she can write like that. [Nicki] not only raps but she can write songs too. It was really easy actually. We were going back and forth with the texts on how we were going to get to do it because we were in two different places and had two opposite schedules.
- RIhanna on Nicki Minaj

Diddy

Diddy hosts a Pink Party for Breast Cancer at GLO nightclub in New York City

CELEBRITY QUOTES FOR THE WEEK OF OCT

It is [about Minaj], I'm not gonna lie. The concept came from a conversation that we had, or conversations we have. I wrote it based off two things: Number one, based off that, and then two, based off Alicia and Swizz and their situation, and it just seemed fitting. It was like the perfect concept.
- Drake on 'Un-Thinkable'

Nicki Minaj