Miss Tanzania 2010




















 Mshindi wa taji la ulimbwende nchini Tanzania kwa mwaka 2010(Miss Tanzania 2010),Genevieve Emmanuel, asubuhi ya leo hii(kwa saa za Tanzania) amekabidhiwa rasmi bendera ya Tanzania tayari kabisa kwenda kuiwakilisha nchi katika mashindano ya ulimbwende ya dunia(Miss World 2010) yanayotarajiwa kufanyika huko Sanya nchini China tarehe 30 Oktoba 2010.Anatarajiwa kuondoka nchini kesho.